Summary: Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS umelaani vikali mauaji ya raia kumi na mmoja, watano miongoni mwa wakiwa ni wanahabari ambao walishambuliwa barabarani wakati wakiwa wanasafiri kuelekea Raja jimboni Bahr El Ghazal Magharibi Kwa mujibu wa taarifa ya UNMISS watu wasiofahamika na amboa walijihami kwa silaha walifyatua risasi katika msafara huo [...]